• Is a registered Non-Government Organization.
  • operates in Tanzania Mainland,
  • located in Morogoro region.
  • Envision a healthy society under good governance
  • for sustainable development.
  • BHASSA TANZANIA focus in Youths, ...
  • Women and Children.
  • We educate farmers on good agricultural practices.
  • We promote gender equality.

Apply For Employment/Volunteering/Internship

Application Form (Fomu ya maombi)

BHASSA TANZANIA is looking for young people aged 18 to 35 years, living in Morogoro Municipal Council in the following fields: Kitchen and Pastry, Beauty and Saloon, Tailoring, Computer and Mobile Phones Maintanance, Weaving and Embroidery, as well as Events Decoration and outside to fill the available volunteers job vacancies.

Taasisi ya BHASSA TANZANIA inatoa fursa ya kazi za kujitolea kwa vijana wenye umri kati ya miaka 18 hadi 35 ambao wanaishi katika halmashauri ya manispaa ya Morogoro kwenye fani zifuatazo: Upishi, Ususi na urembo, Ushonaji, Ufundi kompyuta na simu, Kufuma na Kudalizi, na Upambaji.

Applicants should meet the given criteria (Muombaji awe na sifa zifuatazo) :

  1. Tanzanian aged 18-35 years (Mtanzania mwenye umri kati ya miaka 18 hadi 35).
  2. With a Certificate from the NACTVET registered institutions in the selected field (Mwenye cheti cha ufundi/ujuzi kutoka katika chuo kilichosajiliwa na NACTVET).
  3. Ready to volunteer (Ambae yupo tayari kujitolea).

If you are eligible candidate and interested please fill in the form correctly before 25th May, 2024.

Kama umekidhi vigezo tajwa hapo juu na upo tayari kuomba nafasi hii basi jaza fomu ya maombi hapo chini kwa usahihi kabla ya tarehe 25/05/2024.